Mwanzo 19:14
Kwa hiyo Lutu alitoka ili kuzungumza na wakwe wake waliokuwa wamewaposa binti zake. Akawaambia, “Fanyeni haraka kuondoka mahali hapa, kwa kuwa Mwenyezi Mungu yu karibu kuangamiza mji huu!” Lakini wakwe wake walifikiri kwamba alikuwa akitania.Mwanzo 19:14 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- צָחַקtsâchaqto laugh outright (in merriment or scorn); by implication, to sport
- חָתָןchâthâna relative by marriage (especially through the bride); figuratively, a circumcised child (
- לוֹטLôwṭLot, Abraham's nephew
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
- בַּתbatha daughter (used in the same wide sense as other terms of relationship, literally and figu
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
- עַיִןʻayinan eye (literally or figuratively); by analogy, a fountain (as the eye of the landscape)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 16:21, Num 16:26, Jer 51:6, Num 16:45, Rev 18:4–8, 2Ch 30:10, Luk 17:28–30, Mat 9:24