Ezekieli 13:20
“ ‘Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi: Niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi mnazotumia kuwatega watu kama ndege, nami nitazirarua mikononi mwenu; nitawaweka huru watu mliowatega kama ndege.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- כֶּסֶתkeçetha cushion or pillow (as covering a seat or bed)
- אַתָּהʼattâhthou and thee, or (plural) ye and you
- צוּדtsûwdto lie alongside (i.e. in wait); by implication, to catch an animal (figuratively, men); t
- פָּרַחpârachto break forth as a bud, i.e. bloom; generally, to spread; specifically, to fly (as extend
- קָרַעqâraʻto rend, literally or figuratively (revile, paint the eyes, as if enlarging them)
- זְרוֹעַzᵉrôwaʻthe arm (as stretched out), or (of animals) the foreleg; figuratively, force
- יְהֹוִהYᵉhôvih{YHWH}
- אֲדֹנָיʼĂdônâythe Lord (used as a proper name of God only)
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.