Kutoka 29:21
Pia chukua sehemu ya damu iliyo juu ya madhabahu na sehemu ya mafuta ya upako, umnyunyizie Haruni na mavazi yake, pia wanawe na mavazi yao. Ndipo Haruni na wanawe pamoja na mavazi yao watakuwa wamewekwa wakfu.Kutoka 29:21 katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- נָזָהnâzâhto spirt, i.e. besprinkle (especially in expiation)
- מִשְׁחָהmishchâhunction (the act); by implication, a consecratory gift
- קָדַשׁqâdashto be (causatively, make, pronounce or observe as) clean (ceremonially or morally)
- שֶׁמֶןshemengrease, especially liquid (as from the olive, often perfumed); figuratively, richness
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- אַהֲרוֹןʼAhărôwnAharon, the brother of Moses
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Heb 9:22, Lev 8:30, Exo 29:1, Exo 29:7, Isa 61:1–3, Lev 14:15–18, Isa 11:2–5, Heb 10:29