Kutoka 29:20
Mchinje, uchukue sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye masikio ya Haruni na wanawe, kwenye vidole gumba vya mikono yao ya kuume, pia kwenye vidole gumba vya miguu yao ya kuume. Kisha nyunyiza hiyo damu pande zote za madhabahu.Kutoka 29:20 katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- תְּנוּךְtᵉnûwka pinnacle, i.e. extremity
- בֹּהֶןbôhenthe thumb of the hand or great toe of the foot
- יְמָנִיyᵉmânîyright (i.e. at the right hand)
- זָרַקzâraqto sprinkle (fluid or solid particles)
- שָׁחַטshâchaṭto slaughter (in sacrifice or massacre)
- אַיִלʼayilproperly, strength; hence, anything strong; specifically a chief (politically); also a ram
- אֹזֶןʼôzenbroadness. i.e. (concrete) the ear (from its form in man)
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.