Kutoka 17:1
Jumuiya yote ya Israeli ikaondoka kutoka Jangwa la Sini, ikisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine kama Mwenyezi Mungu alivyoagiza. Wakapiga kambi huko Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.Kutoka 17:1 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רְפִידִיםRᵉphîydîymRephidim, a place in the Desert
- סִיןÇîynSin the name of an Egyptian town and (probably) desert adjoining
- מַסַּעmaççaʻa departure (from striking the tents), i.e. march (not necessarily a single day's travel);
- עֵדָהʻêdâha stated assemblage (specifically, a concourse, or generally, a family or crowd)
- חָנָהchânâhproperly, to incline; by implication, to decline (of the slanting rays of evening); specif
- נָסַעnâçaʻproperly, to pull up, especially the tent-pins, i.e. start on ajourney
- מִדְבָּרmidbâra pasture (i.e. open field, whither cattle are driven); by implication, a desert; also spe
- פֶּהpehthe mouth (as the means of blowing), whether literal or figurative (particularly speech);
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
