Esta 5:14
Zereshi mkewe na rafiki zake wote wakamwambia, “Tengeneza mahali pa kuangika watu kimo chake dhiraa hamsini, kisha kesho asubuhi mwombe mfalme Mordekai aangikwe juu yake. Ndipo uende na mfalme kwenye karamu kwa furaha.” Shauri hili lilimpendeza Hamani, naye akajenga mahali pa kuangika watu.Esta 5:14 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- זֶרֶשׁZereshZeresh, Haman's wife
- שָׂמֵחַsâmêachblithe or gleeful
- תָּלָהtâlâhto suspend (especially to gibbet)
- גָּבֹהַּgâbôahhelevated (or elated), powerful, arrogant
- מִשְׁתֶּהmishtehdrink, by implication, drinking (the act); also (by implication) a banquet or (generally)
- הָמָןHâmânHaman, a Persian vizier
- מׇרְדְּכַיMordᵉkayMordecai, an Israelite
- יָטַבyâṭabto be (causative) make well, literally (sound, beautiful) or figuratively (happy, successf
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Est 6:4, Psa 37:14, Psa 37:32, 1Ki 21:7, Est 7:9–10, Act 23:14–15, Psa 7:13–16, 2Ch 22:3–4