Esta 3:8
Kisha Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero, “Wako watu fulani wameenea na kutawanyika miongoni mwa watu katika majimbo yote ya ufalme wako, ambao desturi zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatii sheria za mfalme. Haifai mfalme kuwavumilia watu hawa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- פָּזַרpâzarto scatter, whether in enmity or bounty
- שָׁוָהshâvâhproperly, to level, i.e. equalize; figuratively, to resemble; by implication, to adjust (i
- דָּתdâtha royal edict or statute
- שָׁנָהshânâhto fold, i.e. duplicate (literally or figuratively); by implication, to transmute (transit
- פָּרַדpâradto break through, i.e. spread or separate (oneself)
- אֲחַשְׁוֵרוֹשׁʼĂchashvêrôwshAchashverosh (i.e. Ahasuerus or Artaxerxes, but in this case Xerxes), the title (rather th
- מְדִינָהmᵉdîynâhproperly, a judgeship, i.e. jurisdiction; by implication, a district (as ruled by a judge)
- הָמָןHâmânHaman, a Persian vizier
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Ezr 4:12–15, Act 16:20–21, Zec 7:14, Lev 26:33, Deu 4:27, Jhn 7:35, Jer 50:17, Neh 1:8