Esta 3:13
Barua zilipelekwa na tarishi katika majimbo yote ya mfalme zikiwa na amri ya kuharibu, kuua na kuangamiza Wayahudi wote, wadogo kwa wakubwa, wanawake na watoto wadogo, siku moja, yaani siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili, ndio mwezi wa Adari, na pia kuteka nyara vitu vyao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֲדָרʼĂdârAdar, the 12th Hebrew month
- טַףṭapha family (mostly used collectively in the singular)
- מְדִינָהmᵉdîynâhproperly, a judgeship, i.e. jurisdiction; by implication, a district (as ruled by a judge)
- שָׁלָלshâlâlbooty
- יְהוּדִיYᵉhûwdîya Jehudite (i.e. Judaite or Jew), or descendant of Jehudah (i.e. Judah)
- שָׁמַדshâmadto desolate
- רוּץrûwtsto run (for whatever reason, especially to rush)
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.