Esta 3:12
Kisha siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza waandishi wa mfalme waliitwa. Wakaandika barua kwa kila jimbo na katika kila lugha ya watu kama agizo la Hamani lilivyotoka kwa mfalme, kwa watawala wa majimbo mbalimbali, na wakuu wa watu mbalimbali. Hizi ziliandikwa kwa jina la Mfalme Ahasuero mwenyewe na kutiwa muhuri wa pete yake mwenyewe.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֲחַשְׁדַּרְפַּןʼăchashdarpana satrap or governorof amain province (of Persia)
- כָּתָבkâthâbsomething written, i.e. a writing, record or book
- חָתַםchâthamto close up; especially to seal
- אֲחַשְׁוֵרוֹשׁʼĂchashvêrôwshAchashverosh (i.e. Ahasuerus or Artaxerxes, but in this case Xerxes), the title (rather th
- פֶּחָהpechâha prefect (of a city or small district)
- מְדִינָהmᵉdîynâhproperly, a judgeship, i.e. jurisdiction; by implication, a district (as ruled by a judge)
- הָמָןHâmânHaman, a Persian vizier
- לָשׁוֹןlâshôwnthe tongue (of man or animals), used literally (as the instrument of licking, eating, or s
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.