Kumbukumbu La Torati 28:68
Mwenyezi Mungu atawarudisha tena Misri kwa meli, safari niliyosema kamwe hamngeenda tena. Huko mtajiuza ninyi wenyewe kwa adui zenu kama watumwa wa kiume na wa kike, lakini hakuna yeyote atakayewanunua.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- אֳנִיָּהʼŏnîyâha ship
- שִׁפְחָהshiphchâha female slave (as a member of the household)
- מָכַרmâkarto sell, literally (as merchandise, a daughter in marriage, into slavery), or figuratively
- יָסַףyâçaphto add or augment (often adverbial, to continue to do a thing)
- אֹיֵבʼôyêbhating; an adversary
- מִצְרַיִםMitsrayimMitsrajim, i.e. Upper and Lower Egypt
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
- עֶבֶדʻebeda servant
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
