Kumbukumbu La Torati 17:19
Atakuwa na nakala hiyo, naye ataisoma siku zote za maisha yake ili ajifunze kumheshimu Mwenyezi Mungu, Mungu wake, na kufuata kwa uangalifu maneno yote ya sheria hii na amri hizi,Kumbukumbu La Torati 17:19 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- לָמַדlâmadproperly, to goad, i.e. (by implication) to teach (the rod being an Oriental incentive)
- חֹקchôqan enactment; hence, an appointment (of time, space, quantity, labor or usage)
- תּוֹרָהtôwrâha precept or statute, especially the Decalogue or Pentateuch
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- שָׁמַרshâmarproperly, to hedge about (as with thorns), i.e. guard; generally, to protect, attend to, e
- קָרָאqârâʼto call out to (i.e. properly, address by name, but used in a wide variety of applications
- דָּבָרdâbâra word; by implication, a matter (as spoken of) or thing; adverbially, a cause
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 1:8, Psa 119:97–100, Psa 1:2, 2Ti 3:15–17, Jhn 5:39, Deu 11:18, Deu 4:10, Deu 6:6–9