Kumbukumbu La Torati 12:21
Kama mahali Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, atakapopachagua kuweka Jina lake ni mbali sana kutoka kwenu, unaweza kuchinja wanyama kutoka makundi yenu ya ng’ombe, ya mbuzi na ya kondoo ambayo Mwenyezi Mungu amewapa, kama nilivyokuamuru, na mkiwa katika miji yenu wenyewe mnaweza kula nyingi mtakavyo.Kumbukumbu La Torati 12:21 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- רָחַקrâchaqto widen (in any direction), i.e. (intransitively) recede or (transitively) remove (litera
- זָבַחzâbachto slaughter an animal (usually in sacrifice)
- בָּחַרbâcharproperly, to try, i.e. (by implication) select
- בָּקָרbâqârbeef cattle or an animal of the ox family of either gender (as used for plowing); collecti
- צֹאןtsôʼna collective name for a flock (of sheep or goats); also figuratively (of men)
- שַׁעַרshaʻaran opening, i.e. door or gate
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.