Amosi 2:4
Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Kwa dhambi tatu za Yuda, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu wameikataa Torati ya Mwenyezi Mungu na hawakuzishika amri zake, kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo, miungu ambayo babu zao waliifuata.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- כָּזָבkâzâbfalsehood; literally (untruth) or figuratively (idol)
- תָּעָהtâʻâhto vacillate, i.e. reel or stray (literally or figuratively); also causative of both
- מָאַסmâʼaçto spurn; also (intransitively) to disappear
- פֶּשַׁעpeshaʻa revolt (national, moral or religious)
- חֹקchôqan enactment; hence, an appointment (of time, space, quantity, labor or usage)
- תּוֹרָהtôwrâha precept or statute, especially the Decalogue or Pentateuch
- אַרְבַּעʼarbaʻfour
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Ezk 20:24, Ezk 20:16, Ezk 20:13, Isa 28:15, Jer 16:19–20, Hab 2:18, Hos 12:2, Isa 5:24–25