Matendo Ya Mitume 26:20
bali niliyatangaza kwanza kwa wale wa Dameski, kisha Yerusalemu na katika vijiji vyote vya Yudea na pia kwa watu wa Mataifa, kwamba inawapasa kutubu na kumgeukia Mungu na kuthibitisha toba yao kwa matendo yao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- ΔαμασκόςDamaskósDamascus, a city of Syria
- χώραchṓraroom, i.e. a space of territory (more or less extensive; often including its inhabitants)
- μετανοέωmetanoéōto think differently or afterwards, i.e. reconsider (morally, feel compunction)
- πράσσωprássōto "practise", i.e. perform repeatedly or habitually (thus differing from G4160 (ποιέω), w
- ἄξιοςáxiosdeserving, comparable or suitable (as if drawing praise)
- ἐπιστρέφωepistréphōto revert (literally, figuratively or morally)
- ἸουδαίαIoudaíathe Judæan land (i.e. Judæa), a region of Palestine
- ἀπαγγέλλωapangéllōto announce
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Act 3:19, Mat 3:8, 2Ti 2:25–26, Act 2:38, Rev 2:5, 2Pe 1:5–8, Mat 9:13, Luk 19:8–9


