2 Samweli 24:21
Arauna akasema, “Mbona bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?” Daudi akajibu, “Nimekuja kununua sakafu yako ya kupuria, niweze kumjengea Mwenyezi Mungu madhabahu, ili tauni iliyo katika watu iondolewe.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אֲרַוְנָהʼĂravnâhAravnah (or Arnijah or Ornah), a Jebusite
- מַגֵּפָהmaggêphâha pestilence; by analogy, defeat
- גֹּרֶןgôrena threshing-floor (as made even); by analogy, any open area
- עָצָרʻâtsârto inclose; by analogy, to hold back; also to maintain, rule, assemble
- קָנָהqânâhto erect, i.e. create; by extension, to procure, especially by purchase (causatively, sell
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- בָּנָהbânâhto build (literally and figuratively)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ch 21:22, Psa 106:30, Gen 23:8–16, 2Sa 24:3, 2Sa 24:18, Num 25:8, Num 16:44–50, 2Sa 21:3–14