2 Samweli 24:10
Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya kuwahesabu wapiganaji, naye akamwambia Mwenyezi Mungu, “Nimefanya dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Ee Mwenyezi Mungu, sasa ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- סָכַלçâkalto be silly
- סָפַרçâpharproperly, to score with a mark as a tally or record, i.e. (by implication) to inscribe, an
- עָוֺןʻâvônperversity, i.e. (moral) evil
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- מְאֹדmᵉʼôdproperly, vehemence, i.e. (with or without preposition) vehemently; by implication, wholly
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- לֵבlêbthe heart; also used (figuratively) very widely for the feelings, the will and even the in
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.