2 Samweli 23:18
Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu mia tatu ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אֲבִישַׁיʼĂbîyshayAbishai, an Israelite
- צְרוּיָהTsᵉrûwyâhTserujah, an Israelitess
- חֲנִיתchănîytha lance (for thrusting, like pitching a tent)
- עוּרʻûwrto wake (literally or figuratively)
- חָלָלchâlâlpierced (especially to death); figuratively, polluted
- שְׁלִישִׁיshᵉlîyshîythird; feminine athird (part); by extension, a third (day, year or time); specifically, a
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- שָׁלוֹשׁshâlôwshthree; occasionally (ordinal) third, or (multiple) thrice
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 10:10, 2Sa 10:14, 2Sa 18:2, 1Ch 11:20–21, 1Sa 26:6–8, 2Sa 20:10, 2Sa 2:18, 1Ch 2:16