2 Samweli 20:1
Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti, “Hatuna fungu katika Daudi, wala hatuna sehemu katika mwana wa Yese! Kila mtu aende kwenye hema lake, enyi Israeli!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- בִּכְרִיBikrîyBikri, an Israelite
- שֶׁבַעshebaʻSheba, the name of a place in Palestine, and of two Israelites
- קָרָאqârâʼto encounter, whether accidentally or in a hostile manner
- בֶּן־יְמִינִיBen-yᵉmîynîya Benjaminite, or descendent of Benjamin
- בְּלִיַּעַלbᵉlîyaʻalwithout profit, worthlessness; by extension, destruction, wickedness
- יִשַׁיYishayJishai, David's father
- שׁוֹפָרshôwphâra cornet (as giving a clear sound) or curved horn
- חֵלֶקchêleqproperly, smoothness (of the tongue); also an allotment
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.