2 Samweli 19:43
Ndipo wanaume wa Israeli wakawajibu wanaume wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?” Lakini wanaume wa Yuda wakajibu kwa ukali hata kuliko wanaume wa Israeli.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אֲנִיʼănîyI
- קָשָׁהqâshâhproperly, to be dense, i.e. tough or severe (in various applications)
- קָלַלqâlalto be (causatively, make) light, literally (swift, small, sharp, etc.) or figuratively (ea
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
- רִאשׁוֹןriʼshôwnfirst, in place, time or rank (as adjective or noun)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- יְהוּדָהYᵉhûwdâhJehudah (or Judah), the name of five Israelites; also of the tribe descended from the firs
- דָּוִדDâvidDavid, the youngest son of Jesse
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gal 5:20, 2Sa 5:1, 1Ki 11:30–31, Jas 4:1–5, Jas 3:14–16, Jas 3:2–10, Jdg 8:1, Pro 15:1