2 Samweli 19:17
Pamoja naye walikuwa Wabenyamini elfu moja wakiwa wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba ya Sauli, pia wanawe kumi na watano, na watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda Yordani, mahali mfalme alipokuwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- צִיבָאTsîybâʼTsiba, an Israelite
- בֶּן־יְמִינִיBen-yᵉmîynîya Benjaminite, or descendent of Benjamin
- צָלַחtsâlachto push forward, in various senses (literal or figurative, transitive or intransitive)
- יַרְדֵּןYardênJarden, the principal river of Palestine
- נַעַרnaʻar(concretely) a boy (as active), from the age of infancy to adolescence; by implication, a
- חָמֵשׁchâmêshfive
- עֶשְׂרִיםʻesrîymtwenty; also (ordinal) twentieth
- עָשָׂרʻâsârten (only in combination), i.e. -teen; also (ordinal) -teenth
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
