MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Samweli 18:12

Lakini huyo mtu akamjibu Yoabu, “Hata kama ningepimiwa shekeli elfu moja mikononi mwangu, nisingeinua mkono wangu dhidi ya mwana wa mfalme. Tukiwa tunasikia, mfalme alikuagiza wewe na Abishai pamoja na Itai, akisema, ‘Mlindeni kijana Absalomu kwa ajili yangu.’

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

2Sa 18:5

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/18/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 18:12 — MEGA.Bible"></iframe>