2 Samweli 18:12
Lakini huyo mtu akamjibu Yoabu, “Hata kama ningepimiwa shekeli elfu moja mikononi mwangu, nisingeinua mkono wangu dhidi ya mwana wa mfalme. Tukiwa tunasikia, mfalme alikuagiza wewe na Abishai pamoja na Itai, akisema, ‘Mlindeni kijana Absalomu kwa ajili yangu.’Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אִתַּיʼIttayIttai or Ithai, the name of a Gittite and of an Israelite
- לוּאlûwʼa conditional particle; if; by implication (interj. as a wish) would that!
- שָׁקַלshâqalto suspend or poise (especially in trade)
- אֲבִישַׁיʼĂbîyshayAbishai, an Israelite
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- כַּףkaphthe hollow hand or palm (so of the paw of an animal, of the sole, and even of the bowl of
- אֹזֶןʼôzenbroadness. i.e. (concrete) the ear (from its form in man)
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.