2 Samweli 17:20
Watu wa Absalomu walipofika kwa huyo mwanamke, wakamuuliza, “Wako wapi Ahimaasi na Yonathani?” Huyo mwanamke akawajibu, “Walivuka kijito.” Watu wa Absalomu wakapekua lakini hawakuwaona hata mmoja, hivyo wakarudi Yerusalemu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- מִיכָלmîykâlproperly, a container, i.e. a streamlet
- אֲחִימַעַץʼĂchîymaʻatsAchimaats, the name of three Israelites
- יְהוֹנָתָןYᵉhôwnâthânJehonathan, the name of four Israelites
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- בָּקַשׁbâqashto search out (by any method, specifically in worship or prayer); by implication, to striv
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- מַיִםmayimwater; figuratively, juice; by euphemism, urine, semen
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Exo 1:19, 1Sa 27:11–12, 1Sa 21:2, Jos 2:22–23, 2Sa 15:34, Jos 2:3–5, 1Sa 19:12–17
