2 Samweli 16:21
Ahithofeli akamjibu Absalomu, “Kutana kimwili na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako, nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe itatiwa nguvu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- בָּאַשׁbâʼashto smell bad; figuratively, to be offensive morally
- אֲחִיתֹפֶלʼĂchîythôphelAchithophel, an Israelite
- פִּילֶגֶשׁpîylegesha concubine; also (masculine) a paramour
- יָנַחyânachto deposit; by implication, to allow to stay
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
- שָׁמַרshâmarproperly, to hedge about (as with thorns), i.e. guard; generally, to protect, attend to, e
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.