2 Samweli 12:20
Basi Daudi akainuka kutoka pale sakafuni. Baada ya kuoga, akajipaka mafuta na kubadilisha nguo zake kisha akaenda ndani ya nyumba ya Mwenyezi Mungu, akaabudu. Baada ya hapo akaenda nyumbani mwake, akaomba wamwandalie chakula, naye akala.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- סוּךְçûwkproperly, to smear over (with oil), i.e. anoint
- שִׂמְלָהsimlâha dress, especially a mantle
- חָלַףchâlaphproperly, to slide by, i.e. (by implication) to hasten away, pass on, spring up, pierce or
- רָחַץrâchatsto lave (the whole or a part of a thing)
- שָׁחָהshâchâhto depress, i.e. prostrate (especially reflexive, in homage to royalty or God)
- שָׁאַלshâʼalto inquire; by implication, to request; by extension, to demand
- לֶחֶםlechemfood (for man or beast), especially bread, or grain (for making it)
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.