2 Samweli 12:18
Ilipotimia siku ya saba, yule mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kuwa mtoto amekufa, kwa maana walifikiri, “Mtoto alipokuwa angali hai, tulizungumza na Daudi lakini hakutusikiliza. Tutawezaje kumwambia kwamba mtoto amekufa? Anaweza kufanya kitu cha kujidhuru.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- יֶלֶדyeledsomething born, i.e. a lad or offspring
- שְׁבִיעִיshᵉbîyʻîyseventh
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- קוֹלqôwla voice or sound
- רַעraʻbad or (as noun) evil (natural or moral)
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.