2 Wafalme 7:6
kwa kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi kubwa, kiasi kwamba waliambiana, “Tazama, mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- שָׂכַרsâkarto hire
- חִתִּיChittîya Chittite, or descendant of Cheth
- רֶכֶבrekeba vehicle; by implication, a team; by extension, cavalry; by analogy a rider, i.e. the upp
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- סוּסçûwça horse (as leaping); also a swallow (from its rapid flight)
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- חַיִלchayilprobably a force, whether of men, means or other resources; an army, wealth, virtue, valor
- קוֹלqôwla voice or sound
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 5:24, Isa 31:1, 1Ki 10:29, Rev 9:9, Rev 6:15–16, 2Ch 12:2–3, Psa 14:5, Isa 36:9
