2 Wafalme 7:13
Mmoja wa maafisa wake akajibu, “Waamuru watu wachache wakawachukue farasi watano kati ya wale waliobaki katika mji. Hatima yao itakuwa kama ya Waisraeli wote walio hapa. Watakuwa tu kama Waisraeli hawa ambao wanangoja kifo. Hivyo tuwatumeni wajue kumetendeka nini.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- תָּמַםtâmamto complete, in a good or a bad sense, literal, or figurative, transitive or intransitive
- הָמוֹןhâmôwna noise, tumult, crowd; also disquietude, wealth
- שָׁאַרshâʼarproperly, to swell up, i.e. be (causatively, make) redundant
- סוּסçûwça horse (as leaping); also a swallow (from its rapid flight)
- חָמֵשׁchâmêshfive
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- עֶבֶדʻebeda servant
- אֶחָדʼechâdproperly, united, i.e. one; or (as an ordinal) first
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.