2 Wafalme 7:12
Mfalme akaamka usiku na kuwaambia maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, hivyo wameacha kambi yao ili kujificha mashambani, wakifikiri, ‘Kwa hakika watatoka nje ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia ndani ya mji.’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חָבָהchâbâhto secrete
- רָעֵבrâʻêbhungry (more or less intensely)
- תָּפַשׂtâphasto manipulate, i.e. seize; chiefly to capture, wield, specifically, to overlay; figurative
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- לַיִלlayilproperly, a twist (away of the light), i.e. night; figuratively, adversity
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.