2 Wafalme 4:31
Gehazi akatangulia mbele na kuilaza fimbo juu ya uso wa mtoto, lakini hapakuwa na sauti wala itikio. Hivyo Gehazi akarudi kukutana na Al-Yasa, na kumwambia, “Mtoto hajaamka.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- קֶשֶׁבqesheba hearkening
- מִשְׁעֵנָהmishʻênâhsupport (abstractly), i.e. (figuratively) sustenance or (concretely) a walking-stick
- גֵּיחֲזִיGêychăzîyGechazi, the servant of Elisha
- קוּץqûwtsto awake (literally or figuratively)
- קִרְאָהqirʼâhan encountering, accidental, friendly or hostile (also adverbially, opposite)
- נַעַרnaʻar(concretely) a boy (as active), from the age of infancy to adolescence; by implication, a
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
- קוֹלqôwla voice or sound
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.