2 Wafalme 4:16
Al-Yasa akamwambia, “Mwaka ujao, wakati kama huu utabeba mwana mikononi mwako.” Yule mama akapinga, akasema, “La hasha, bwana wangu! Usimdanganye mtumishi wako, ee mtu wa Mungu!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חָבַקchâbaqto clasp (the hands or in embrace)
- כָּזַבkâzabto lie (i.e. deceive), literally or figuratively
- שִׁפְחָהshiphchâha female slave (as a member of the household)
- מוֹעֵדmôwʻêdproperly, an appointment, i.e. a fixed time or season; specifically, a festival; conventio
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- אִישׁʼîysha man as an individual or a male person; often used as an adjunct to a more definite term
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gen 18:10, Luk 1:13, 2Ki 4:28, Gen 18:12–15, Gen 17:21, Luk 1:30–31, Gen 17:16–17, 2Ki 2:19