2 Wafalme 4:1
Mke wa mmoja wa wana wa manabii akamlilia Al-Yasa, akamwambia, “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa, nawe unajua alikuwa anamcha Mwenyezi Mungu. Lakini sasa yule anayemdai anakuja kuchukua wanangu wawili kama watumwa wake.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נָשָׁהnâshâhto lend or (by reciprocity) borrow on security or interest
- אֱלִישָׁעʼĔlîyshâʻElisha, the famous prophet
- צָעַקtsâʻaqto shriek; (by implication) to proclaim (an assembly)
- יָרֵאyârêʼfearing; morally, reverent
- יֶלֶדyeledsomething born, i.e. a lad or offspring
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- שְׁנַיִםshᵉnayimtwo; also (as ordinal) twofold
+maneno 10 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mat 18:25, 2Ki 2:3, Psa 147:11, Neh 5:2–5, Lev 25:39–41, Jas 2:13, Psa 103:17, Ecc 8:12