2 Wafalme 25:13
Wakaldayo walivunja vipande vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la Mwenyezi Mungu. Hivyo wakaichukua hiyo shaba na kuipeleka Babeli.2 Wafalme 25:13 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- מְכוֹנָהmᵉkôwnâha pedestal, also a spot
- כַּשְׂדִּיKasdîya Kasdite, or descendant of Kesed; by implication, a Chaldaean (as if so descended); also
- עַמּוּדʻammûwda column (as standing); also a stand, i.e. platform
- נְחֹשֶׁתnᵉchôshethcopper, hence, something made of that metal, i.e. coin, a fetter; figuratively, base (as c
- שָׁבַרshâbarto burst (literally or figuratively)
- בָּבֶלBâbelBabel (i.e. Babylon), including Babylonia and the Babylonian empire
- יָםyâma sea (as breaking in noisy surf) or large body of water; specifically (with the article),
- נָשָׂאnâsâʼto lift, in a great variety of applications, literal and figurative, absolute and relative
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ch 36:18, Lam 1:10, 2Ki 20:17, Jer 52:17–20, 1Ki 7:15, 2Ch 4:12–16, 1Ki 7:23–45, Exo 27:3

