2 Wafalme 25:1
Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli, akiwa na jeshi lake lote, alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Akapiga kambi nje ya mji na kuuzingira pande zote.2 Wafalme 25:1 katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- דָּיֵקdâyêqa battering-tower
- עָשׂוֹרʻâsôwrten; by abbreviated form ten strings, and so a decachord
- תְּשִׁיעִיtᵉshîyʻîyninth
- עֲשִׂירִיʻăsîyrîytenth; by abbreviation, tenth month or (feminine) part
- נְבוּכַדְנֶאצַּרNᵉbûwkadneʼtstsarNebukadnetstsar (or -retstsar, or -retstsor), king of Babylon
- חָנָהchânâhproperly, to incline; by implication, to decline (of the slanting rays of evening); specif
- חַיִלchayilprobably a force, whether of men, means or other resources; an army, wealth, virtue, valor
- בָּבֶלBâbelBabel (i.e. Babylon), including Babylonia and the Babylonian empire
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jer 52:4–11, Isa 29:3, Jer 43:10, Jer 34:1–6, 1Ch 6:15, Jer 51:34, 2Ki 24:10, Jer 27:8

