MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Wafalme 23:34

Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa baba yake Yosia, na kulibadilisha jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafia huko.

Soma katika muktadha

2 Wafalme 23:34 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ki/23/34" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Wafalme 23:34 — MEGA.Bible"></iframe>