2 Wafalme 23:16
Kisha Yosia akatazama huku na huko, naye alipoona makaburi yaliyokuwa kwenye kilima, akaamuru mifupa itolewe humo na akaichoma juu ya madhabahu ya Betheli ili kupanajisi. Hili lilitendeka kulingana na neno la Mwenyezi Mungu lililosemwa na mtu wa Mungu ambaye alitangulia kusema mambo haya.2 Wafalme 23:16 katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- יֹאשִׁיָּהYôʼshîyâhJoshijah, the name of two Israelites
- קֶבֶרqebera sepulchre
- עֶצֶםʻetsema bone (as strong); by extension, the body; figuratively, the substance, i.e. (as pron.) s
- שָׂרַףsâraphto be (causatively, set) on fire
- טָמֵאṭâmêʼto be foul, especially in a ceremial or moral sense (contaminated)
- פָּנָהpânâhto turn; by implication, to face, i.e. appear, look, etc.
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
