2 Wafalme 19:3
Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- מִשְׁבֵּרmishbêrthe orifice of the womb (from which the fetus breaks forth)
- נְאָצָהnᵉʼâtsâhscorn
- תּוֹכֵחָהtôwkêchâhchastisement; figuratively (by words) correction, refutation, proof (even in defence)
- צָרָהtsârâhtightness (i.e. figuratively, trouble); transitively, a female rival:
- חִזְקִיָּהChizqîyâhChizkijah, a king of Judah, also the name of two other Israelites
- כֹּחַkôachvigor, literally (force, in a good or a bad sense) or figuratively (capacity, means, produ
- יָלַדyâladto bear young; causatively, to beget; medically, to act as midwife; specifically, to show
- יוֹםyôwma day (as the warm hours), whether literal (from sunrise to sunset, or from one sunset to
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Isa 66:9, Jer 30:5–7, Isa 26:17–18, Heb 3:15–16, Hos 13:13, Psa 39:11, Psa 95:8, Psa 123:3–4