2 Wafalme 18:17
Mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wake mkuu, na afisa wake mkuu, na jemadari wa jeshi, pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Wakaja Yerusalemu na kusimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.2 Wafalme 18:17 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- תַּרְתָּןTartânTartan, an Assyrian
- רַב־סָרִיסRab-ÇârîyçRab-Saris, a Babylonian official
- חֵילchêylan army; also (by analogy,) an intrenchment
- תְּעָלָהtᵉʻâlâha channel (into which water is raised for irrigation); also a bandage or plaster (as place
- בְּרֵכָהbᵉrêkâha reservoir (at which camels kneel as a resting-place)
- רַבְשָׁקֵהRabshâqêhRabshakeh, a Babylonian official
- לָכִישׁLâkîyshLakish, a place in Palestine
- מְסִלָּהmᵉçillâha thoroughfare (as turnpiked), literally or figuratively; specifically a viaduct, a stairc
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.



