2 Wafalme 17:1
Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Ahazi mfalme wa Yuda, Hoshea mwana wa Ela akawa mfalme wa Israeli katika Samaria, naye akatawala miaka tisa.2 Wafalme 17:1 katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- הוֹשֵׁעַHôwshêaʻHoshea, the name of five Israelites
- אֵלָהʼÊlâhElah, the name of an Edomite, of four Israelites, and also of a place in Palestine
- אָחָזʼÂchâzAchaz, the name of a Jewish king and of an Israelite
- תֵּשַׁעtêshaʻnine or (ordinal) ninth
- שֹׁמְרוֹןShômᵉrôwnShomeron, a place in Palestine
- מָלַךְmâlakto reign; inceptively, to ascend the throne; causatively, to induct into royalty; hence (b
- עָשָׂרʻâsârten (only in combination), i.e. -teen; also (ordinal) -teenth
- שָׁנֶהshâneha year (as a revolution of time)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
