2 Wafalme 12:4
Yoashi akawaambia makuhani, “Kusanyeni fedha zote zitakazoletwa kama sadaka takatifu kwenye Hekalu la Mwenyezi Mungu, yaani fedha zilizokusanywa watu walipohesabiwa, fedha zilizopokelewa kutokana na nadhiri za watu binafsi, na fedha zilizoletwa kwa hiari hekaluni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יְהוֹאָשׁYᵉhôwʼâshJehoash, the name of two Israelite kings
- עֵרֶךְʻêreka pile, equipment, estimate
- כֶּסֶףkeçephsilver (from its pale color); by implication, money
- קֹדֶשׁqôdesha sacred place or thing; rarely abstract, sanctity
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- לֵבlêbthe heart; also used (figuratively) very widely for the feelings, the will and even the in
- נֶפֶשׁnepheshproperly, a breathing creature, i.e. animal of (abstractly) vitality; used very widely in
- כֹּהֵןkôhênliterally one officiating, a priest; also (by courtesy) an acting priest (although a layma
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Ki 22:4, Exo 30:12–16, Exo 35:5, 1Ch 29:3–9, Exo 35:29, Exo 35:22, Exo 36:3, 2Ch 24:9–10