2 Wafalme 11:19
Pamoja naye akawachukua majemadari wa mamia, Wakari, walinzi na watu wote wa nchi, nao kwa pamoja wakamteremsha mfalme kutoka Hekalu la Mwenyezi Mungu na kwenda kwenye jumba la mfalme, wakiingilia njia ya lango la walinzi. Ndipo mfalme akachukua nafasi yake kwenye kiti cha ufalme;2 Wafalme 11:19 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- כָּרִיkârîya life-guardsman
- רוּץrûwtsto run (for whatever reason, especially to rush)
- כִּסֵּאkiççêʼproperly, covered, i.e. a throne (as canopied)
- שַׁעַרshaʻaran opening, i.e. door or gate
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- שַׂרsara head person (of any rank or class)
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.