2 Wakorintho 5:15
Naye alikufa kwa ajili ya watu wote, ili wote wanaoishi wasiishi tena kwa ajili ya nafsi zao wenyewe, bali kwa ajili yake yeye aliyekufa na kufufuliwa tena kwa ajili yao.2 Wakorintho 5:15 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- μηκέτιmēkétino further
- ἀποθνήσκωapothnḗskōto die off (literally or figuratively)
- ζάωzáōto live (literally or figuratively)
- ἐγείρωegeírōto waken (transitively or intransitively), i.e. rouse (literally, from sleep, from sitting
- ὑπέρhypér"over", i.e. (with the genitive case) of place, above, beyond, across, or causal, for the
- ἑαυτοῦheautoûhim- (her-, it-, them-, also (in conjunction with the personal pronoun of the other person
- ἵναhínacompare G3588 (ὁ)); in order that (denoting the purpose or the result)
- ἀλλάalláproperly, other things, i.e. (adverbially) contrariwise (in many relations)
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rom 14:7–9, 1Pe 4:2–4, 1Pe 1:14–15, Col 3:1, Col 3:17, Gal 2:19–20, 1Jn 4:9, Tit 2:14