2 Mambo Ya Nyakati 26:16
Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa Mwenyezi Mungu ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- חֶזְקָהchezqâhprevailing power
- גָּבַהּgâbahhto soar, i.e. be lofty; figuratively, to be haughty
- מָעַלmâʻalproperly, to cover up; used only figuratively, to act covertly, i.e. treacherously
- קְטֹרֶתqᵉṭôretha fumigation
- הֵיכָלhêykâla large public building, such as a palace or temple
- קָטַרqâṭarto smoke, i.e. turn into fragrance by fire (especially as an act of worship)
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- מִזְבֵּחַmizbêachan altar
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.