2 Mambo Ya Nyakati 24:12
Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la Mwenyezi Mungu. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la Mwenyezi Mungu, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חָדַשׁchâdashto be new; causatively, to rebuild
- שָׂכַרsâkarto hire
- חָצַבchâtsabto cut or carve (wood, stone or other material); by implication, to hew, split, square, qu
- חָרָשׁchârâsha fabricator or any material
- יְהוֹיָדָעYᵉhôwyâdâʻJehojada, the name of three Israelites
- בַּרְזֶלbarzeliron (as cutting); by extension, an iron implement
- נְחֹשֶׁתnᵉchôshethcopper, hence, something made of that metal, i.e. coin, a fetter; figuratively, base (as c
- עֲבֹדָהʻăbôdâhwork of any kind
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.