MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 24:12

Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la Mwenyezi Mungu. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la Mwenyezi Mungu, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

2Ch 34:9–11, 1Ki 5:15

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:12 — MEGA.Bible"></iframe>