MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Mambo Ya Nyakati 24:11

Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Co 16:2, 2Ki 12:10–12

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/11" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:11 — MEGA.Bible"></iframe>