1 Samweli 9:5
Walipofika sehemu ya Sufu, Sauli akamwambia mtumishi aliyekuwa pamoja naye, “Njoo turudi, au baba yangu ataacha kufikiria kuhusu punda na kuanza kufadhaika kutuhusu.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- צוּףTsûwphTsuph or Tsophai or Tsiph, the name of an Israelite and of a place in Palestine
- דָּאַגdâʼagbe anxious
- אָתוֹןʼâthôwna female donkey (from its docility)
- חָדַלchâdalproperly, to be flabby, i.e. (by implication) desist; (figuratively) be lacking or idle
- נַעַרnaʻar(concretely) a boy (as active), from the age of infancy to adolescence; by implication, a
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
- יָלַךְyâlakto walk (literally or figuratively); causatively, to carry (in various senses)
- שׁוּבshûwbto turn back (hence, away) transitively or intransitively, literally or figuratively (not
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
