1 Samweli 9:4
Hivyo akapita katika nchi ya vilima ya Efraimu na katika eneo la Shalisha, lakini hawakuwapata. Wakaendelea katika sehemu ya Shaalimu, lakini punda hawakuwa huko. Kisha wakapita katika nchi ya Benyamini, lakini hawakuwapata.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שָׁלִשָׁהShâlishâhShalishah, a place in Palestine
- שַׁעֲלִיםShaʻălîymShaalim, a place in Palestine
- בֶּן־יְמִינִיBen-yᵉmîynîya Benjaminite, or descendent of Benjamin
- אֶפְרַיִםʼEphrayimEphrajim, a son of Joseph; also the tribe descended from him, and its territory
- מָצָאmâtsâʼproperly, to come forth to, i.e. appear or exist; transitively, to attain, i.e. find or ac
- הַרhara mountain or range of hills (sometimes used figuratively)
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- אֶרֶץʼeretsthe earth (at large, or partitively a land)
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

