1 Samweli 6:9
lakini liangalieni kwa makini. Iwapo litaenda katika nchi yake lenyewe, kuelekea Beth-Shemeshi, basi tutajua kwamba Mwenyezi Mungu ndiye alileta haya maafa makubwa juu yetu. Lakini kama halikwenda, basi tutajua kwamba haukuwa mkono wa Mwenyezi Mungu uliotupiga na kwamba iliyotokea kwetu ni ajali.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- מִקְרֶהmiqrehsomething met with, i.e. an accident or fortune
- בֵּית שֶׁמֶשׁBêyth ShemeshBeth-Shemesh, a place in Palestine
- הָיָהhâyâhto exist, i.e. be or become, come to pass (always emphatic, and not a mere copula or auxil
- נָגַעnâgaʻproperly, to touch, i.e. lay the hand upon (for any purpose; euphemistically, to lie with
- גְּבוּלgᵉbûwlproperly, a cord (as twisted), i.e. (by implication) a boundary; by extension the territor
- גָּדוֹלgâdôwlgreat (in any sense); hence, older; also insolent
- רַעraʻbad or (as noun) evil (natural or moral)
- דֶּרֶךְdereka road (as trodden); figuratively, a course of life or mode of action, often adverb
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
