MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 6:7

“Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa pamoja na ng’ombe wawili ambao wamezaa lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. Fungieni hao ng’ombe hilo gari, lakini ondoeni ndama wao na mwaweke zizini.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Num 19:2, 2Sa 6:3, 1Ch 13:7

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/6/7" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 6:7 — MEGA.Bible"></iframe>