1 Samweli 6:7
“Sasa basi, wekeni gari jipya la kukokotwa pamoja na ng’ombe wawili ambao wamezaa lakini ambao kamwe hawajafungwa nira. Fungieni hao ng’ombe hilo gari, lakini ondoeni ndama wao na mwaweke zizini.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עוּלʻûwlto suckle, i.e. give milk
- עֲגָלָהʻăgâlâhsomething revolving, i.e. a wheeled vehicle
- פָּרָהpârâha heifer
- עֹלʻôla yoke (as imposed on the neck), literally or figuratively
- חָדָשׁchâdâshnew
- אָסַרʼâçarto yoke or hitch; by analogy, to fasten in any sense, to join battle
- שְׁנַיִםshᵉnayimtwo; also (as ordinal) twofold
- אַחַרʼacharproperly, the hind part; generally used as an adverb or conjunction, after (in various sen
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.