1 Samweli 6:4
Wafilisti wakawauliza, “Ni sadaka gani ya hatia tutakayompelekea?” Wakajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya wa dhahabu watano, kulingana na idadi ya watawala wa Wafilisti, kwa sababu tauni hiyo hiyo imewadhuru ninyi na watawala wenu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עַכְבָּרʻakbâra mouse (as nibbling)
- טְחֹרṭᵉchôra boil or ulcer (from the inflammation), especially a tumorin the anus or pudenda (the pil
- עֹפֶלʻôphela tumor; also a mound, i.e. fortress
- סֶרֶןçerenan axle; figuratively, a peer
- מַגֵּפָהmaggêphâha pestilence; by analogy, defeat
- אָשָׁםʼâshâmguilt; by implication, a fault; also a sin-offering
- מִסְפָּרmiçpâra number, definite (arithmetical) or indefinite (large, innumerable; small, a few); also (
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.