1 Samweli 3:9
Hivyo Eli akamwambia Samweli, “Nenda ukalale; akikuita, sema, ‘Nena Mwenyezi Mungu, kwa kuwa mtumishi wako anasikiliza.’ ” Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עֵלִיʻÊlîyEli, an Israelite highpriest
- שְׁמוּאֵלShᵉmûwʼêlShemuel, the name of three Israelites
- שָׁכַבshâkabto lie down (for rest, sexual connection, decease or any other purpose)
- מָקוֹםmâqôwmproperly, a standing, i.e. a spot; but used widely of a locality (general or specific); al
- קָרָאqârâʼto call out to (i.e. properly, address by name, but used in a wide variety of applications
- עֶבֶדʻebeda servant
- יָלַךְyâlakto walk (literally or figuratively); causatively, to carry (in various senses)
- דָבַרdâbarperhaps properly, to arrange; but used figuratively (of words), to speak; rarely (in a des
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.